Home Soka Zimbwe Ajifunga Simba sc

Zimbwe Ajifunga Simba sc

by Dennis Msotwa
0 comments

Beki wa klabu ya Simba sc Mohamed Hussein amesaini mkataba mpya wa miaka miwili kuendelea kuitumikia klabu hiyo iliyomsajili akitokea Kagera Sugar.

Beki huyo alikua amebakisha miezi miwili katika mkataba wake wa awali na sasa amefanikiwa kumalizana na uongozi wa Simba sc kwa kusaini mkataba huo ambapo atachukua mshahara wa shilingi Milioni 10 kwa mwezi huku dau la usajili likiwa ni shilingi milioni 100 za kitanzania.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited