Home Soka Depay Atua Barca

Depay Atua Barca

by Sports Leo
0 comments

Barcelona imekamilisha usajili wa mshambuliaji Mephis Dapay kwa mkataba wa miaka miwili akitokea klabu ya Lyon Fc ya nchini Ufaransa.

Depay aliyewika na Manchester United kisha akapotea na kusababisha Man utd kumuuza kwenda Lyon Fc ambako ameng’aa na kuwavutia Barcelona kumsajili mshambuliaji huyo mwenye mwili ulioshiba.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited