Home Soka Juuko Kusalia Express

Juuko Kusalia Express

by Sports Leo
0 comments

Beki wa zamani wa Simba na timu ya taifa ya Uganda Juuko Murshid, Ameanza mazungumzo na klabu yake ya Express FC ya Uganda kwa ajili ya kuongeza mkataba mpya wa kuendelea kusalia ndani ya klabu hiyo.

Juuko Msimu uliopita alisaini mkataba wa awali wa mwaka mmoja ulioisha tarehe 30 June 2021 na sasa klabu hiyo inayoshiriki ligi kuu nchini Uganda ina mpango wa kumpa miaka miwili zaidi

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited