Beki wa zamani wa Simba na timu ya taifa ya Uganda Juuko Murshid, Ameanza mazungumzo na klabu yake ya Express FC ya Uganda kwa ajili ya kuongeza mkataba mpya wa kuendelea kusalia ndani ya klabu hiyo.
Juuko Msimu uliopita alisaini mkataba wa awali wa mwaka mmoja ulioisha tarehe 30 June 2021 na sasa klabu hiyo inayoshiriki ligi kuu nchini Uganda ina mpango wa kumpa miaka miwili zaidi
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.