Home Makala Nyota Ahamia Ghana kisa Ubaguzi

Nyota Ahamia Ghana kisa Ubaguzi

by Sports Leo
0 comments

Nyota wa Chelsea Callum Hudson-Odoi ameamua kuchagua kuiwakilisha timu ya Taifa Ghana badala ya England ambayo alichagua kuiwakilisha awali kutokana na kufanyiwa vitendo vya kibaguzi.
Cullum mtoto wa nyota wa zamani wa klabu ya heart Oak ya Ghana Bismark Odoi amefikia uamuzi huo baada ya kutofurahishwa na vitendo vya ubaguzi walivyofanyiwa wachezaji watatu wa England wenye asili ya Africa Marcus Rashford, Bukayo Sacka na Jordan Sancho baada ya kukosa mikwaju ya penati kwenye mchezo wa fainali dhidi ya Italy.
lakini pia inaelezwa jambo lingine lililomvutia nyota huyo ambaye alizaliwa England kuichagua timu ya Taifa ya Ghana ni upendo alionyeshwa na raia wa Ghana pamoja na Rais wa nchi hiyo Akufo Ado alipotembelea Ikulu ya nchi

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited