Home Soka Ratiba klabu bingwa,shirikisho yatoka

Ratiba klabu bingwa,shirikisho yatoka

by Sports Leo
0 comments

Chama cha soka Afrika (CAF) kimetoa ratiba ya michezo ya awali ya mtoano kwa mashindano ya klabu bingwa na ile ya kombe la shirikisho kwa vilabu kufuzu makundi.

Ratiba hiyo inaonesha kuwa mechi za kwanza za raundi ya kwanza zinatarajiwa kufanyika kati ya tarehe 10-12 septemba 2021 na marudiano kati ya tarehe 17-19 septemba 2021,mechi za kwanza za raundi ya pili ni kati ya tarehe 26-28 novemba na zile za marudiano ni kati ya tarehe3-5 mwezi disemba 2021.

Tanzania itawakilishwa na timu nne kwa msimu wa 2021/2022 ambazo ni Simba,Yanga kwa michuano ya klabu bingwa na Azam na Biashara kwa upande wa kombe la shirikisho.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited