Home Soka Azam Fc Yamtema Tigere

Azam Fc Yamtema Tigere

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Azam imeachana rasmi na kiungo mshambuliaji Never Tegere raia wa Zimbabwe na nafasi yake imechukuliwa na mshambuliaji mpya Idriss Illunga Mbombo ambaye amesaini mkataba wa miaka miwili leo.
Mpaka sasa klabu ya Azam inawachezaji 10 wa kimataifa ambao ni wapya Charles Zulu (Zambia), Paul Katema (Zambia), Rodgers Kola (Zambia), Kenneth Muguna (Kenya) na Mbombo (DRC) wazamani ni Mathias Kingonya (Uganda), Prince Dube (Zimbabwe), Bruce Kangwa (Zimbabwe), Nico Wadada (Uganda) na Daniel Amoah (Ghana).

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited