Home Soka Kipa Aigle Noir atua Yanga

Kipa Aigle Noir atua Yanga

by Dennis Msotwa
0 comments

Golikipa Mtanzania aliyekua anakipiga katika klabu ya soka ya Aigle Noir ya Burundi Eric Johora amejiunga na klabuj ya soka ya Ynga kwa mkataba wa miaka miwili.

Johora aametua Jangwani kuchukua mikoba ya Metacha Mnata aliyeachwa baada ya kumalizika kwa mkataba wake.

Mchezaji huyo alionekana kwa mara ya kwanza alipokuja nchini na timu ya Aigle Noir kucheza mechi ya kirafiki na Yanga wiki ya Mwanachi na kuonesha kiwango safi kilichowavutia mabosi hao wa Jangwani na kuanza kumfuatilia hadi kufikia hatua ya kumsajili.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited