Home Makala Locatelli atua kibibi kizee cha Turin

Locatelli atua kibibi kizee cha Turin

by Sports Leo
0 comments

Kiungo Muittaliano Manuel Locatelli amejiunga na klabu ya soka ya Juventus akitokea Sassuolo kwa ada ya euro milioni 40 akisaini mkataba wa miaka mitano hadi 2026.

Locatelli alishinda kombe la Ulaya akiwa wa timu ya taifa ya Italia katika michuano ya Euro 2020 akifanya vizuri akiwa na kikosi hicho kwa kufunga magoli matatu.

Mchezaji huyo alikuwa akihusishwa na klabu ya Arsenal lakini alichagua muda mrefu kujiunga na Juventus.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited