Home Makala Ajibu Anukia KMC

Ajibu Anukia KMC

by Sports Leo
0 comments

Inaelezwa kuwa kiungo mshambuliaji wa Simba, Ibrahim Ajibu anaweza kutolewa kwa mkopo kwenda ndani ya klabu ya KMC.

Nyota huyo alijiunga na Simba kwa dili la miaka miwili akitokea klabu ya Yanga ila hajawa na nafasi kwenye kikosi cha kwanza kilicho chini ya Sven Vandenbroeck.

Ajibu akiwa Yanga kwa msimu wa 2018/19 ametoa jumla ya pasi 17 na alikuwa kinara ila msimu huu ndani ya Simba ametoa pasi tano huku kinara wa kutoa pasi ndani ya Simba msimu huu ni Clatous Chama ambaye ametoa pasi 10 za mabao.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited