Home Makala Alain Thiery Atua Azam Fc

Alain Thiery Atua Azam Fc

by Sports Leo
0 comments

ALAIN Thiery kutoka nchini Cameroon amejifunga kwa miaka miwili ndani ya Azam FC yenye makazi yake Chamazi leo Agosti 24.

Mshambuliaji huyo amesaini dili hilo akiwa kama mchezaji huru aliyemaliza kandarasi yake ndani ya Fortuna Du Mfuo ya Cameroon.

Mabosi hao wa Azam wamefunga kwa mchezaji huyu baada ya wengine kuwatambulisha jana kwenye siku yao(Azam Festival)iliyofanyika katika uwanja wao wa Azam Complex uliopo Chamazi huku mgeni rasmi akiwa Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa na msanii wa kizazi kipya wa bongo fleva,Alikiba na wasingeli akiwa Msagasumu.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited