Home Makala Alves Ataja Timu Anayopenda Kustaafia

Alves Ataja Timu Anayopenda Kustaafia

by Sports Leo
0 comments

Nyota anayekipiga ndani ya Sao Paulo ,Dani Alves amesema kuwa haitakuwa vibaya kama atastaafia ndani ya klabu ya Boca Junior.

Alves ambaye ni beki aliyekipiga pia Barcelona amesema kuwa alikuwa anaipenda timu hiyo kwa muda mrefu kabla ya kutumika ndani ya Barca na Sao Paulo.

“Unajua ninaipenda nimekuwa nikiipenda kwa muda mrefu klabu ya Boca sio kwa sababu watu wanaiongelea hapana ni klabu kubwa nimegundua ina kitu cha tofauti,” alisema Alves.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited