Screenshot 20250603 205700 Instagram

Masaka Afunguka Tuzo Bmt

Nyota wa Twiga Stars na Brighton & Hoves ya England, Aisha Masaka ametoa neno la shukrani baada ya kushinda tuzo ya mwanamichezo bora wa kike mwaka 2024, katika usiku wa tuzo za Baraza la michezo la Taifa uliofanyika Jumapili Juni Mosi 2025. Masaka ambaye ni mara yake ya kwanza kushinda tuzo hiyo, ametoa ushauri kwa…

Soma Zaidi
Mazoezi mepesi kabla ya mchezo

Lawi Aiangukia Kamati TFF

Beki wa klabu ya Coastal union Lameck Lawi hatimaye amerejea nchini baada ya kushindwa kufuzu majaribio yake katika klabu ya K.A.Gent ya nchini Ubelgiji huku akisubiri uamuzi wa Kamati ya usajili na hadhi za wachezaji ya Shirikisho la soka nchini (TFF). Awali mchezaji huyo alisaini mkataba mpya wa miaka mitatu katika klabu ya Simba sc…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks