Home Makala Amunike Aliamsha Dude

Amunike Aliamsha Dude

by Sports Leo
0 comments

Aliyekua kocha mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania (Taifa stars) Emmanuel Amunike amelishitaki shirikisho la soka nchini (Tff) kwa shirikisho la soka duniani (Fifa) kutokana na kutolipwa stahiki zake.

Kocha huyo raia wa Nigeria anayeishi nchini Hispania alitimuliwa na Tff baada ya kuiongoza Taifa stars kufanya vibaya katika michuano ya mataifa ya Afrika (Afcon ) yaliyofanyika nchini Misri.

Taarifa iliyotolewa na mtandao wa Completesports.com na Punching.com inaonesha kocha huyo amefikisha malalamiko yake Fifa ili kuweza kupata utatuzi baada ya kusubiri malipo hayo kwa muda mrefu toka mwezi julai.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited