Screenshot 20250617 205757 Instagram

Fifa Kufanya Ukaguzi TFF

Shirikisho la mpira wa miguu duniani (FIFA) linatarajia Kufanya uchunguzi wa mpira wa Tanzania katika Kipindi cha miezi miwili nyuma hadi sasa kutokana na migogoro ya kimaamuzi iliyotokea. Kwa mujibu wa taarifa za ndani ni kuwa  kamati ya nidhamu FIFA ilituma barua kwenda TFF mnamo Juni 13, 2025 ikiwataarifu kuwa inafuatilia mienendo ya soka la…

Soma Zaidi
IMG 20250610 WA0018

Yanga Sc Kugomea Fainali Crdb

Afisa Habari wa Klabu ya Yanga, Ali Kamwe kwenye mkutano wake na waandishi wa Habari uliofanyika  Juni 9, 2025 katika makao makuu ya klabu hiyo amesema kuwa klabu hiyo haitacheza fainali ya Kombe la CRDB hadi pale watakapolipwa fedha za ubingwa wa Kombe hilo kwa msimu uliopita. Kamwe alisisitiza kuwa tangu mwaka jana wamekua wakiandika…

Soma Zaidi
453871369 1054840832668514 4175768235320358101 n

Aziz Ki Atwaa Mvp

Kiungo mshambuliaji wa klabu ya Yanga sc Stephane Aziz Ki amefanikiwa kutwaa tuzo tatu katika tuzo za  ligi kuu nchini zilizotolewa na Shirikisho la soka nchini Tanzania (TFF) kwa wanasoka waliofanya vizuri msimu wa 2023/2024 zilizofanyika katika ukumbi wa Super Dome Masaki jijini Dar es salaam na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali wa soka. Katika usiku…

Soma Zaidi
Aziz kama Aziz

Aziz Ki Bora Machi 2024

Kiungo mshambuliaji wa klabu ya Yanga, Stephane Aziz Ki ameibuka  kuwa mchezaji bora mwezi Machi msimu wa ligi kuu kwa msimu wa baada ya kutangazwa na bodi inayosimamia ligi kuu nchini kupitia kamati yake maalumu ya Tathmini ya viwango vya wachezaji 2023/2024. Aziz KI amechukua tuzo hiyo mbele ya Feisal Salum ‘Fei Toto’ wa Azam…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks