Home Makala Ashley Young Kutimkia Inter Milan

Ashley Young Kutimkia Inter Milan

by Sports Leo
0 comments

Beki wa Manchester United Ashley Young ameigomea timu yake kufanya mazoezi na kutimkia ndani ya kikosi cha Inter Milan.

Mchezaji huyo amekubali kujiunga na Inter Milani inayoshiriki serie A akitokea kwenye timu inayoshiriki ligi kuu England kutokana na kutokufurahishwa na maisha yake ndani ya Manchester United.

Mabosi wa Inter Milan wameweka mezani pauni milioni 15 ili kupata saini ya mchezaji huyo na hivi karibuni baada ya kuchukuliwa vipimo atajiunga nao katika kikosi hicho.

banner

Ashley Young ameigomea Manchester United kuongeza mkataba wa mwaka mmoja na anahitaji kuondoka kwenye usajili wa mwezi Januari licha ya mkataba wake kumeguka mwishoni mwa msimu huu.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited