Home Makala Atletico Madrid,Beki Akutwa Na Corona

Atletico Madrid,Beki Akutwa Na Corona

by Sports Leo
0 comments

Beki wa kushoto wa Atletico Madrid ya Hispania ambaye ni raia wa Brazil,Renan Lodi amethibitika kukutwa na virusi vya Corona.

Lodi alianza kuonesha dalili za kuwa na virusi vya Corona mwanzoni mwa Machi lakini hakuwa amechukuliwa vipimo hadi wiki hii alipopimwa na kuthibitika kukutwa na virusi hivyo.

Hata hivyo wachezaji 9 wengine wa klabu hiyo ya Atletico Madrid wamepimwa na kukuta hawana maambukizi hivyo kuruhusiwa kuanza mazoezi.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited