Home Makala Azam Fc Aipiga Fountain Gate 4G

Azam Fc Aipiga Fountain Gate 4G

by Sports Leo
0 comments

Azam Fc imeibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Fountain Gate kwenye mchezo wa kirafiki uliochezwa jana Octoba 12,uwanja wa Azam Complex.

Bao la kwanza kwa Azam lilipachikwa na Mudathir Yahya dakika ya 24 huku anayekitamani kiatu cha dhahabu VPL,Prince Dube alipachika mabao mawili dakika ya 43 na 44.

Kader wa Azam Fc alipachika bao la nne lenye ushindi dakika ya 49 na kuipa ushindi timu yake katika uwanja wao wa nyumbani uliopo Chamazi wa Azam Complex.

banner

Mchezo huo  ulikuwa wa maandalizi kwa tiimu zote mbili kwani Azam Fc inajiandaa na mchuano wa raundi ya sita wa ligi kuu bara huku Fountain Gate ukijiandaa na ligi daraja la kwanza.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited