Home Makala Azam Fc Kuvaana Na Fountain Gate Leo

Azam Fc Kuvaana Na Fountain Gate Leo

by Sports Leo
0 comments

Azam Fc ambao ni vinara wa kigi kuu ya Vodacom Tanzania bara (VPL) itakuwa na mchezo wa kirafiki leo Octoba 12,dhidi ya  Fountain Gate SC .

Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa leo katika uwanja wao uliopo Chamazi wa Azam Complex majira ya saa 1:00 usiku ikiwa ni kwa ajili ya maandalzi ya mechi zao za ligi kuu bara.

Kwa sasa Azam Fc ipo nafasi ya kwanza ikiwa na pointi 15 baada ya kucheza mechi tano na ipo kwenye kibarua cha kunoana na Mwadui Fc katika mchezo wa raundi ya sita wa ligi kuu bara.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited