Home Makala Baada ya 2-1 Watua Bongo Leo

Baada ya 2-1 Watua Bongo Leo

by Dennis Msotwa
0 comments

Kikosi cha Simba Sc kimewasili jijini Dar es Salaam leo kikitokea Mbeya ambapo kilikuwa na mchezo wa kwanza wa ufunguzi wa ligi kuu bara dhidi ya Ihefu Fc.

Mchezo huo ulichezwa jana uwanja wa Sokoine jijini Mbeya ambapo Simba iliibuka na ushindi wa mabao 2-1 mbele ya Ihefa Fc na kunyakua pointi tatu za mchezo wa kwanza wa ligi.

Simba Sc kwa sasa inaanza kujiaandaa kwa ajili ya mchezo wa pili Septemba 12 ambao utakuwa dhidi ya Mtibwa Sugar katika uwanja wa Jamhuri, mkoani Morogoro.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited