Home Makala Beki Mbao Amwaga Wino Azam

Beki Mbao Amwaga Wino Azam

by Sports Leo
0 comments

Leo Agosti 12 Azam Fc imeingia mkataba wa miaka miwili na beki wa kushoto kutokea Mbao Fc, Emmanuel Charles kwa usajili huru.

Charles amekuwa na kiwango bora ndani ya Mbao Fc msimu uliopita, amefanikiwa kutengeneza pasi za mabao matatu na kufunga mawili.

Usajili wake ni sehemu ya kuongeza nguvu katika eneo la ulinzi la Azam FC, pia likiwa ni pendekezo la benchi la ufundi chini ya kocha mkuu, Aristica Cioaba ili kuboresha timu hiyo kwa ajili ya msimu wa 2020/2021.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited