Home Makala Boko Hatihati kuwavaa Ud Songo

Boko Hatihati kuwavaa Ud Songo

by Sports Leo
0 comments

Bado haijafahamika kama mshambuliaji wa Simba sc John Boko atakua fiti kucheza mchezo wa klabu bingwa Afrika dhidi ya Ud Songo baada ya kupata maumivu katika mchezo dhidi ya Azam Fc.

Boko aliumia kipindi cha kwanza na nafasi yake ilichukuliwa na Cletous Chama na mpaka sasa bado anaendelea na matibabu kupitia jopo la tiba la klabu hiyo.

Licha ya kumkosa Boko Simba inatarajiwa kuwa na Kipa Aishi Manula ambaye alikosa mchezo wa kwanza baada ya kupata majeraha akiwa na timu ya taifa.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited