Home Makala Burundi Yaachia Mchezaji Mmoja Yanga

Burundi Yaachia Mchezaji Mmoja Yanga

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Yanga Sc imejinasia saini ya Said Ntibazonkiza kutokea timu ya taifa Burundi akiwa kama mchezaji huru baada ya kukosa timu kwa muda mrefu.

Ntibazonkiza amesaini dili la miaka miaka miwili Yanga ambayo kwa sasa ipo chini ya kaimu kocha mkuu, Juma Mwambusi.

Nyota huyo ambaye pia alipata dili ndani ya Vital ‘O’ msimu wa 2019 lakini hakupata nafasi kucheza kikosi cha kwanza ,alikuwa ndani ya kikosi cha timu ya taifa ya Burundi kwenye mchezo wa jana ambapo walivaana na Taifa Stars na kuwapa kichapo cha bao 1-0.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited