Home Makala Chama,Mugalu,Morrison Kuwakosa Asec

Chama,Mugalu,Morrison Kuwakosa Asec

by Sports Leo
0 comments

Keulekea Mchezo wa siku ya Jumapili wa kombe la Shirikisho Barani Afrika dhidi ya Klabu ya Asec Mimosa Klabu ya Simba imetangaza kuwa itawakosa wachezaji wake Chris Mugalu ambaye amevunjika mkono, Kibu Denis Majeruhi ,Clatous Chama , Thadeo Lwanga majeruhi na Bernard Morrison aliye simamishwa

Kikosi hicho tayari kipo katika maandalizi ya mwisho ya mchezo huo huku nyota hao wakithibitishwa kukosekana katika mchezo huku ikitajwa kwamba tayari Kibu Dennis ameanza mazoezi taratibu na anatarajiwa kupatikana katika michezo ijayo.

Simba sc inakabiliwa na ratiba ngumu ya michuano ya kimataifa ikiwa na michezo takribani mitatu katika muda wa wiki mbili ambapo itacheza na Asec Mimosa siku ya Februari 13 nyumbani kisha itasafiri kuwavaa USGN februari 19 na baadae kucheza na Rs Berkane Februari 23.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited