Home Makala Chico Ushindi Hatihati Yanga sc

Chico Ushindi Hatihati Yanga sc

by Sports Leo
0 comments

Kocha wa klabu ya Yanga sc Nasredine Nabi amethibitisha kuwa winga Chico Ushindi anasumbuliwa na maralia hivyo ataukosa mchezo wa kesho dhidi ya Geita Gold Fc.

Chico aliyesajiliwa dirisha dogo la usajili mwezo januari akitokea Tp Mazembe mpaka sasa bado hajaonyesha makeke kutokana na kusumbuliwa na majeraha ya mara kwa mara klabuni hapo.

Toka asajili amecheza michezo ya kirafiki dhidi ya Mbuni Fc na ule wa ligi kuu dhidi ya Mbeya City na Polisi Tanznia ambapo aliingia dakika za mwishoni.

banner

Mchezaji huyo kwa mujibu wa Nabi yuko hatihati kucheza mchezo huo kutokana na kusumbuliwa na maralia yeye na Djuma Shabani.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited