Home Makala Christian Ronaldo Awekwa Karantini

Christian Ronaldo Awekwa Karantini

by Sports Leo
0 comments

Nyota anayekipiga ndani ya Juventus, Christiano Ronaldo amepelekwa karantini kwa siku 14 wakati wachezaji wenzake wanaoshiriki Serie A wakiwa wamenaza mazoezi.

Hii ni baada ya mapema wiki  nyota huyo aliporejea Italia kutoka kwao Ureno kwenye mapumziko baada ya ligi hiyo kusimamishwa kutokana na virusi vya Corona.

Juventus walianza mazoezi wiki hii chini ya uangalizi maalum ili kujiepusha na maambukizi ya corona na baadhi ya mastaa walioonekana wakianza mazoezi ni Giorgio Chiellini, Aaron Ramsey na Leonardo Bonu-cci.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited