Home Makala Corona Yamkwamisha Mbappe

Corona Yamkwamisha Mbappe

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Real Madrid ilikua katika nafasi nzuri ya kukamilisha usajili wa Mshambuliaji Kylian Mbappe kutoka Psg kwa mujibu wa kuingo wa zamani wa klabu ya Psg Jerome Rothen.

Inadaiwa kocha Zinedine Zidane anamhitaji mshambuliaji huyo kwa udi na uvumba ili kuboresha safu ya ushambuliaji ambayo imeyumba tangu kuondoka kwa Cristiano Ronaldo lakini janga la Virusi vya Corona ndio linalichelwesha dili hilo.

Mbappe ana mkataba na Psg mpaka mwaka 2022 lakini haonyeshi dalili za kuongeza mkataba licha ya juhudi za klabu hiyo kumshawishi aongeze.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited