Home Makala Dili La Sane Lipo Namna Hii

Dili La Sane Lipo Namna Hii

by Sports Leo
0 comments

Taarifa kutoka nchini Ujerumani na England zinadai kwamba klabu za Bayern Munich na Manchester City zipo kwenye mazungumzo ya mwisho kwa ajili ya kufanikisha usajili wa winga wa Manchester City na timu ya taifa ya Ujerumani, Leroy Sane.

Ripoti zinadai kwamba jambo hilo lipo kwenye hatua za mwisho kabisa kumalizika na pindi litakapoibuka tena litakuwa ni suala la kutangazwa rasmi kwa mchezaji huyo kuwa mchezaji wa Bayern Munich.

Kwa sasa ligi zote nchini zimesimamishwa kutokana na janga la Virusi vya Corona vilivyoikumba dunia ila serikali imetangaza kuwa kuna uwezekano wa ligi kurejea mwezi Juni.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited