Home Makala Duchu Wa Lipuli Atua Simba

Duchu Wa Lipuli Atua Simba

by Sports Leo
0 comments

David Kameta ‘Duchu’ ametambulishwa rasmi leo Agosti 15 ndani ya kikosi cha Simba akiwa amesaini dili la miaka miwili akitokea klabu ya Lipuli Fc.

Duchu akiwa Lipuli ambayo itashiriki ligi daraja la kwanza msimu ujao alitupia mabao matatu na kutoa jumla ya pasi saba kwa msimu wa 2019/20.

Simba Sc inazidi kukisuka vyema kikosi chao kwa ajili ya msimu wa 2020/2021 licha ya kuwa wametwaa taji la ubingwa kwa msimu uliopita na Kombe la Shirikisho (ASFC).

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited