Home Makala Fabinho Arejea Liverpool

Fabinho Arejea Liverpool

by Sports Leo
0 comments

Mchezaji wa Liverpool Fabinho arejea tena kwenye timu yake baada ya kupata tatizo kwenye enka tangu Novemba ambapo alitoka kwenye mashindano ya ligi.

Reds wamefanikiwa kufunga kila mchezo kwenye utowekaji wake isipokuwa kwenye mchezo waliocheza na Aston Villa kwenye kombe la ligi ya nusu fainali walifungwa mabao 5-0.

Kurejea kwa Fabinho kumeleta matumaini makubwa sana kwa Liverpool kwani ameripoti wiki hii kuanza mazoezi na atakuwa kwenye michezo ijayo ya ligi .

banner

Meneja wa Liverpool Jurgen Klopp amemkaribisha Fabinho kamili kwenye mazoezi ya wiki hii na atakuwa kiungo kwenye mechi watakayoicheza Jumapili dhidi ya Manchester United.

Fabinho amesema weekend iliyopita kuwa “Enka yangu kwa sasa ina afadhali kwa kuwa nimekuwa nikifanya mazoezi mwenyewe wiki hii nafurahi kushika mpira tena najisikia vizuri na ninajiamini”

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited