Home Makala Fei,Zimbwe Watemwa Stars

Fei,Zimbwe Watemwa Stars

by Sports Leo
0 comments

Kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) ambacho kitaingia katika mchezo wa kufuzu fainali ya mataifa ya Africa (Afcon) dhidi ya Algeria tayari kimeingia kambini nchini Tunisia kujiandaa na mchezo huo.

Katika kikosi hicho ambacho tayari kimesafiri majina makubwa baadhi yamekosekana tofauti na matarjio ya wengi huku wachezaji kama Jonas Mkude na John Boko wakishangaza wadau kutokana na kuitwa kwao huku katika klabu zao wakiwa wanakaa benchi.

Katika kikosi hicho mastaa kama Feisal Salum,Salum Abukabari,Mohamed Hussein na Shomari Kapombe wameachwa huku nafasi zao zikizibwa na Mudathiri Yahaya,Abdi Banda,Dickson Job na wengineo.

banner

Mwalimu Adel Amrouche ameonekana kupendelea zaidi wachezaji wenye uwezo mkubwa wa kuzuia ili kupata alama moja ambayo itaisaidia Stars kufuzu kwa mara ya tatu katika historia ya michuano hiyo.

Kikosi kamili kilichoitwa ni kama kifuatacho:

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited