Home Makala Fernandes Apigiwa Hesabu Manchester United

Fernandes Apigiwa Hesabu Manchester United

by Sports Leo
0 comments

Kocha mkuu wa Manchester United Ole Gunnar Solskjaer ameonekana akimpigia hesabu mchezaji wa Sporting Lisbon Bruno Fernandes baada ya usajili wa dirisha dogo kufunguliwa mwezi Januari.

Bruno Fernandes anatajwa na kocha  huyo kuwa mbadala wa kiungo wake Paul Pogba ambaye anasumbuliwa na majeraha kwa sasa.

Ugumu unakuja kwa Manchester United kumpata nyota huyo kwani watani wao Manchester City na Chelsea wanatajwa kuwania saini ya mchezaji huyo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited