Home Makala Gabon Wafanyiwa Figusu

Gabon Wafanyiwa Figusu

by Sports Leo
0 comments

Pichani inayosambaa ikiwaonyesha  Wachezaji wa timu ya taifa ya Gabon walivyolala usiku kwenye Uwanja wa Ndege huko Gambia, saa chache kabla ya mchezo wao wa leo wa kufuzu Kombe la Mataifa ya Afrika.

Kwa mujibu wa nahodha wa Gabon Aubameyang amesema serikali ya Gambia imewashikilia na kuwapokonya passport zao bila sababu zozote za msingi na kuwatelekeza uwanjani hapo ikidai hawaruhusiwa kwenda hotelini kwa kuwa hawajapima virusi vya Corona.

banner

Hata hivyo taarifa zinadai  Hii inaonekana ilifanywa kulipiza kisasi kwa kile Gambia ilichokitaja kama matibabu sawa na kile walichofanyiwa huko Libreville walipokwenda kwa ajili ya mchezo wa awali.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited