Home Makala Gormahia Yatembeza Bakuli

Gormahia Yatembeza Bakuli

by Sports Leo
0 comments

Kama ulijua bakula linatembezwa jangwani pekee basi utakua umechemsha baada ya mfumo huo wa kuomba michango kuiangukia klabu ya Gormahia ya nchini kenya baada ya kutetereka kiuchumi siku za hivi karibuni.

Klabu hiyo imekua na wakati mgumu tangu wadhamini wake kampuni ya michezo ya kubashiri ya Sportspesa kujitoa kudhamini klabu hiyo kutokana na kodi kubwa iliyowekwa katika michezo ya kubahatisha.

Gormahia wanaandaa hafla ya kuchangisha fedha ili kuweza kushiriki mechi ya mkondo wa kwanza wa ligi ya mabingwa afrika dhidi ya Us Alger kutoka nchini Algeria mechi ambayo wakishinda wataenda hatua ya makundi.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited