Juan Mata ni mhispania ambaye anaitumikia timu inayoshiriki ligi kuu England,Manchester United kama beki pia anacheza ndani ya tamu ya Taifa ya Hispania.
Nyota huyo aliyesajiliwa ndani Manchester United mwaka 2014 akitokea Chelsea amekuwa kati ya mabeki bora na wenye umuhimu mkubwa ndani ya timu hiyo.
Mata amezaliwa April ,28 ,1988 na amekuwa akizungumziwa vyema na wachezaji wenzake kwani amekuwa akionyesha ushirikiano mzuri kwa wachezaji wenzake wakiwa uwanjani hata nje ya uwanja.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.
Beki huyo amecheza jumla ya mechi 170 ndani ya Man United ,amefunga jumla ya mabao 33 na kutoa asisti 30.