Home Makala Heri Ya Siku Ya Kuzaliwa Juan Mata

Heri Ya Siku Ya Kuzaliwa Juan Mata

by Sports Leo
0 comments

Juan Mata ni mhispania ambaye anaitumikia timu inayoshiriki ligi kuu England,Manchester United kama beki pia anacheza ndani ya tamu ya Taifa ya Hispania.

Nyota huyo aliyesajiliwa ndani Manchester United mwaka 2014 akitokea Chelsea amekuwa kati ya mabeki bora na wenye umuhimu mkubwa ndani ya timu hiyo.

Mata amezaliwa April ,28 ,1988 na amekuwa akizungumziwa vyema na wachezaji wenzake kwani amekuwa akionyesha ushirikiano mzuri kwa wachezaji wenzake wakiwa uwanjani hata nje ya uwanja.

banner

Beki huyo amecheza jumla ya mechi 170 ndani ya Man United ,amefunga jumla ya mabao 33 na kutoa asisti 30.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited