2024 07 14T212108Z 251476486 UP1EK7E1NB6P5 RTRMADP 3 SOCCER EURO ESP ENG REPORT 1720993763

Hispania Yatwaa Euro 2024

Timu ya Taifa ya Hispania imefanikiwa kuchukua taji la michuano ya Euro 2024 iliyokua ikifanyika nchini Ujerumani baada ya kufanikiwa kuifunga England kwa mabao 2-1 katika fainali ya michuano hiyo iliyofanyika katika uwanja wa Olympia jijini Berlin,Ujerumani. Hispania ambayo haijapoteza hata mchezo mmoja katika michuano hiyo ilionyesha dalili za kutwaa ubingwa huo mapema kuanzia mwanzo…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks