Home Makala Hii Corona Ni Shidaa!!!

Hii Corona Ni Shidaa!!!

by Sports Leo
0 comments

Uongozi wa klabu ya Jkt Tanzania  leo Machi 18,2020 umevunja kambi yake kutokana na maelekezo yaliyotolewa jana na Serikali kupitia kwa waziri mkuu Kasim Majaliwa kuhusu zuio la kuwepo kwa mikusanyiko mbalimbali kutokana na kuwepo ugonjwa wa Virusi vya Corona hapa nchini.

Taarifa iliyotolewa na ofisa habari wa Jkt Tanzania , Jamila Mutabazi imeeleza kuwa wachezaji wote wanarejea nyumbani kuanzia leo.

Wachezaji wote wametakiwa kuendelea kujikinga na kufuata maelekezo yanayotolewa na Serikali sambamba na wataalam wa afya ili kuweza kupambana na virusi hivyo vya Corona.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited