Home Makala Jkt Tanzania Walipa Kisasi Simba

Jkt Tanzania Walipa Kisasi Simba

by Sports Leo
0 comments

JKT Tanzania wamelipa leo kisasi dhidi ya Simba Sc kwa kuwachapa bao 1-0 katika michuano ya ligi kuu bara katika uwanja wa Uhuru ambapo mchezo wao wa kwanza walipokutana na Simba walifungwa mabao 3-1.

Bao pekee la ushindi limefungwa kupitia Adam Adam dakika ya 24 ya kipindi cha kwanza cha mchezo ambalo limedumu mpaka mwisho wa kipindi.

Mashabiki wamejitokeza kwa wingi kushuhudia pambano hilo la kisasi pia nyota wapya wa Simba Luis na Shiza Kichuya wameanza leo kwa mara ya kwanza.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited