Home Makala Juventus Kumalizwa Na Corona

Juventus Kumalizwa Na Corona

by Sports Leo
0 comments

Nchini Italia nyota wa Juventus na timu ya taifa ya Ufaransa ,Blaise Matuidi amegundulika kuwa ana virusi vya Corona baada ya kufanyiwa vipimo.

Mwanasoka huyu amekuwa mchezaji wa pili Juventus kukutwa na maambukizi ya virusi vya Corona baada ya beki ,Daniele Rugani.

Matuindi ametengwa kwa hiari nyumbani kwake tangu Jumatano na ataendelea kufuatiliwa kwa kufuata utaratibu wa serikali japo kwa sasa anaendelea vizuri chini ya uangalizi maalum.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited