Mastaa wa Azam Fc watajiunga na kambi mwanzoni mwa mwezi Julai kisha wataweka kambi ya muda mfupi wa wiki moja Zanzibar kisha kusafiri kuelekea nchini Morocco kwa ajili ya kambi hiyo huku wachezaji wengine watajiunga na timu moja kwa moja nchini humo.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.