Home Makala Kengold Fc Wajuta Kukutana na Simba sc

Kengold Fc Wajuta Kukutana na Simba sc

by Sports Leo
0 comments

Klabu ya Kengold Fc imejikuta ikiambulia kichapo cha mabao 5-0 kutoka kwa Simba sc licha ya kuwa nyumbani katika uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mkoani Tabora.

Katika mchezo huo ambao nusra Kengold Fc wasitokee uwanjani baada ya kuripotiwa kuwa wachezaji wamegoma wakishinikiza malipo ya mishahara wanayodai kwa miezi miwili mpaka sasa.

Mabao ya Simba Sc yalipatikana kuanzia dakika za  20 likifungwa na Kibu Dennis huku dakika sita baadae alifunga bao la pili na Ellie Mpanzu alifunga bao la tatu 32 huku Lionel Ateba na Jean Charles Ahoua walihitimisha ushindi wa mabao 5-1.

banner

Kutokana na ushindi hu Simba Sc imeendelea kuibana Yanga sc katika msimamo wa ligi kuu ya ambapo tofauti yao ni alama moja.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited