Home Makala Kihimbwa Aimaliza Kmc

Kihimbwa Aimaliza Kmc

by Sports Leo
0 comments

Salum Kihimbwa ameibuka shujaa wa mchezo kati ya Kmc na Mtibwa Sugar baada ya kufunga bao pekee katika mchezo huo lililopeleka ushindi katika klabu hiyo ya Manungu mjini Morogoro.

Bao hili lilitokana na uzembe wa mabeki na kipa Juma Kaseja ambapo baada ya kupigwa krosi mfungaji alipiga kichwa akiwa katikati ya mabeki wa timu hiyo huku kipa Juma Kaseja akiwa kaliacha goli bila uhakika wa kuucheza mpira.

Licha ya juhudi za washambuliaji Emmanuel Mvuyekure na Reliants Lusajo mchezo ulibaki kuwa mgumu kwa Kmc iliyopoteza alama tatu.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited