Mlinda mlango wa manchester United ,David De Gea anatazamiwa kupigwa bei ili kuiongezea mkwanja timu yake katika usajili utakaofanywa msimu huu.
Uongozi huo umeamua kutaka kumuuza De Gea kutokana na makosa ya mara kwa mara aliyokuwa akiyafanya ndani ya timu na kuigharimu timu yake kupata matokeo mabovu.
Kutokana na mkataba wake kukaribia kumeguka 2023 Juventus na PSG zimepewa nafasi ya kuinasa saini ya nyota huyo wa Manchester United.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.