Home Makala Kipa Wa Manchester United Kufungashiwa Virago

Kipa Wa Manchester United Kufungashiwa Virago

by Sports Leo
0 comments

Mlinda mlango wa manchester United ,David De Gea anatazamiwa kupigwa bei ili kuiongezea mkwanja timu yake katika usajili utakaofanywa msimu huu.

Uongozi huo umeamua kutaka kumuuza De Gea kutokana na makosa ya mara kwa mara aliyokuwa akiyafanya ndani ya timu na kuigharimu timu yake kupata matokeo mabovu.

Kutokana na mkataba wake kukaribia kumeguka 2023 Juventus na PSG zimepewa nafasi ya kuinasa saini ya nyota huyo wa Manchester United.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited