Home Makala Kisa 8-2,Messi Ataka Kusepa Barcelona

Kisa 8-2,Messi Ataka Kusepa Barcelona

by Dennis Msotwa
0 comments

Tetezi huko Hispania zinaeleza kuwa nyota wa kimataifa,Lionel Messi ametangaza kutimka zake Barcelona na tayari ameshawaeleza mabosi wake.

Sababu kubwa inayomfanya mshambuliaji huyo kutaka kuondoka ni kutokana na udhalilishwaji wa kuchapwa mabao 8-2 na Baryen Munich siku ya Ijumaa na kutolewa mazima kwa timu yao hatua ya robo fainali ya ligi ya mabingwa Ulaya.

Messi alitishia kugoma kusaini mkataba mpya hadi kujua muafaka wa usajili utakaofanyika Nou Camp kama utakuwa wa kueleweka lakini kwa sasa ameonyesha kutokuwa na subra tena hivyo anahitaji kuondoka haraka iwezekanavyo.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited