Kiungo wa zamani wa Yanga sc,Ihefu sc na As Vita Papy Kabamba Tshitshimbi amejiunga na klabu ya Tabora United kwa mkataba wa mwaka mmoja akitokea Ihefu Fc ambapo alikua amemaliza mkataba wake.
Papy anatarajiwa kuongeza uzoefu katika safu ya kiungo ya timu hiyo kutokana na kuwa na uzoefu wa kutosha ndani na nje ya nchi hasa akiwa ameshatumikia hata michezo ya kimataifa akiwa na Yanga sc.
Hata hivyo klabu hiyo inapaswa kuombea kiungo huyo asipata majaraha ya mara kwa mara kutokana na miaka ya hivi karibuni kuwa na majeraha ya mara kwa mara.
🎯 Usipitwe!
Kuwa wa kwanza kupata habari za moto za michezo nchini Tanzania na duniani kwa ujumla, moja kwa moja kwenye barua pepe yako kutoka SportsLeo Bongo!
- ✅ Matokeo ya mechi
- ✅ Uchambuzi wa kina
- ✅ Habari za ndanii ya timu zako pendwa
✉️ Quality content, no spam. Unsubscribe anytime.