Home Makala Kocha Achapwa 7-1 Baada Ya Kujifanya Kipa

Kocha Achapwa 7-1 Baada Ya Kujifanya Kipa

by Sports Leo
0 comments

Baada ya kubainika kuwa makipa wote wa Ukraine 1 hadi namba 3 wana Corona katika mchezo wa kirafiki uliochezwa kati ya Ufaransa na Ukraine siku ya jana Octoba 7,2020 kocha wao msaidizi ambaye aliwahi kuchezea nafasi ya golikipa,Oleksandr Shovkovskiy aliamua kucheza kama kipa.

Kwakuwa ilikuwa sio mchezo wa kuhairishwa kocha huyo wa Ukraine alijikuta akipokea kichapo cha mabao 7-1 ambapo bao lao la kufutia machozi lilifungwa na Viktor Tsygankov dakika ya 53.

Kichapo hicho ndicho kinono zaidi wa timu hiyo ya Taifa cha Ukraine kuwahi kupokezwa katika historia yao.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited