Home Makala Kocha Azam Fc Akalia Kuti Kavu

Kocha Azam Fc Akalia Kuti Kavu

by Sports Leo
0 comments

Kocha wa klabu ya Azam Fc Arstica Cioaba amekalia kuti kavu katika klabu hiyo baada ya kuwa na msululu wa matokeo mabovu klabuni hapo.

Kocha huyo Mromania jana alishindwa kuiweka Azam Fc kileleni baada ya kukubali kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa Yanga sc huku akitoka kufungwa wikiendi iliyoisha na Kmc.

Kocha huyo amepata ushindi mara moja kati ya mechi tano huku akitoka sare mara moja na kupoteza mechi tatu na kuisababishia klabu hiyo kupata alama 4 katika ya 15.

banner

Mpaka sasa taarifa za ndani zinadai kocha huyo anaweza kutimuliwa muda wowote kuifundisha klabu hiyo kutokana na matokeo hayo.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited