Home Makala Kocha Yanga Aibukia Gwambina Fc

Kocha Yanga Aibukia Gwambina Fc

by Sports Leo
0 comments

Kocha wa zamani wa Yanga Sc, Mwinyi Zahera ametambulishwa rasmi Gwambina Fc kuwa kocha mkuu wa klabu hiyo ambayo imepanda daraja msimu huu wa 2019/20 na itashiriki ligi kuu bara msimu wa 2010/21.

Zahera amesaini dili la miaka mitano na tetesi zinaeleza kuwa ataanza kusajili nyota wake ambao alifanya nao kazi ndani ya Yanga.

Wachezaji wanaotajwa kuibukia Gwambina Fc ni Mrisho Ngasa na Kelvin Yondani ambao kwa sasa ni wachezaji huru ndani ya Yanga Sc baada ya mkataba wao kumalizika.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited