Home Makala Ligi Kuu Kuendelea Leo Tanga

Ligi Kuu Kuendelea Leo Tanga

by Sports Leo
0 comments

Ligi kuu bara inaendelea leo ambapo raundi ya nne inakamilika kwa mechi moja kuchezwa Uwanja wa Mkwakwani majira ya saa 10:00 jioni kati ya Coastal Union inayonolewa na Juma Mgunda dhidi ya JKT Tanzania inayonolewa na Mohamed Abdalah.

Coastal Union imetoka kulazimisha sare ya bila kufungana mchezo wake uliopita mbele ya Dodoma Jiji huku JKT Tanzania inaingia uwanjani kupambana na Coastal Union ikiwa na kumbukumbu ya kulazimisha sare ya kufungana bao 1-1 na Polisi Tanzania.

Timu zote zimejipanga vyema katika mchuano wa leo ikiwa wote wanaziataka pointi tatu muhimu.

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited