Home Makala Ligi Kuu Zanzibar Kuendelea Kama Kawaida

Ligi Kuu Zanzibar Kuendelea Kama Kawaida

by Dennis Msotwa
0 comments

Shirikisho la Soka Zanzibar (ZFF) limebainisha kuwa endapo hali itaruhusu na serikali kuruhusu kuendelea kwa michezo visiwani humo, basi ligi hiyo itaendelea kama kawaida baada ya kusimamishwa kwa muda kufuatia mlipuko wa virusi vya Corona visiwani humo .

Serikali ilisimamisha shughuli zote za kimichezo nchini kote ili kupambana na virusi vya Corona vilivyoikumba Dunia, lakini hivi karibuni Rais John Pombe Magufuli aligusia nia yake ya kuruhusu ligi iendelee wakati akimuapisha Mwigulu Nchemba kuwa Waziri wa Katiba na Sheria .

 

banner

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited