Home Makala Liverpool wamtungua Tottenham.

Liverpool wamtungua Tottenham.

by Sports Leo
0 comments

Mchezaji wa Liverpool Roobert Firmino amejizolea umaarufu mkubwa baada ya kufunga bao moja lililodumu mpaka dakika 90 za mchezo.

Roobert Firmino alifunga bao hilo dakika ya 37 na kuweka rekodi ya point 16 kwenye mchezo wao wa 21 wa ligi kuu, huu ni mwanzo mzuri kabisa wa ligi za Uingereza.

Jose Morinho alisema”Nina kila sababu ya kusema sijaridhika na matokeo ila alichokifanya kijana huyu ni jitihada za kipekee za kutokata tamaa mapema”

banner

Nafikiri kila meneja angekuwa na Fermino kwenye timu yake ingempa nguvu,kujiamini na kujenga timu bora.”alisema meneja Garry Neville.

You may also like

Leave a Comment

Sportsleo Bongo ni tovuti ya kwanza na bora zaidi ya michezo nchini Tanzania, ikileta habari kwa Kiswahili, matokeo ya moja kwa moja, tetesi, na taarifa muhimu kuhusu soka, ndondi, riadha na michezo mingine ndani na nje ya Tanzania.

Edtior's Picks

Latest Articles

Sportsleo Bongo Developed and designed by Mediapix Limited